Dua'a ya kumaliza Kula chakula
Imehaririwa na:
Admin tokea miaka 2
وعن مُعَاذِ بنِ أَنسٍ قَالَ: قَالَ رسُولُ اللَّه ﷺ: مَنْ أَكَلَ طَعَامًا فَقال: الحَمْدُ للَّهِ الَّذِي أَطْعَمَني هَذَا وَرَزَقْنِيهِ مِنْ غيْرِ حَوْلٍ مِنِّي وَلا قُوَّةٍ؛ غُفِرَ لَهُ مَا تَقَدَّمَ مِنْ ذَنْبِهِ رواه أَبُو داود، والترمذي وقال: حدِيثٌ حسنٌ
Kutoka kwa Anas (Radhi za Allah ziwe juu yake) amesema:
Amesema Mtume Sala na Salamu ziwe juu yake:
“Atakae kula chakula kisha akasema (baada ya kumaliza kula chakula hicho): kila sifa njema anastahiki Allah amabe amenilisha chakula hiki pasi na ujanja wowote (kutoka kwangu) wala nguvu yoyote ile atasamehewa dhambi zake zilizotangulia”.
Nyongeza ya Mfasiri
Kutoka kwa Anas (Radhi za Allah ziwe juu yake) amesema:
Amesema Mtume Sala na Salamu ziwe juu yake:
“Atakae kula chakula kisha akasema (baada ya kumaliza kula chakula hicho): kila sifa njema anastahiki Allah amabe amenilisha chakula hiki pasi na ujanja wowote (kutoka kwangu) wala nguvu yoyote ile atasamehewa dhambi zake zilizotangulia”.
Faida zinazopatikana katika Makala hii:
| 1. Umuhimu wa kujifunza Dini |
| 2. Allah ndie mwenye Kutegemewa na kuhitajiwa katika kutoa Rizq |
| 3. Rizq zinatoka kwa Allah wala si Ujanaja na Hila zetu |
| 4. Kila mtu anahitajika kumtegemea allah ukweli wa kumtegemea kisha Ndipo juhudi zake niafuata wala si kinyume chake |