Hadithi 40 za Imam Nawawi (11)
Imehaririwa na:
Admin tokea miaka 2
عن أبي مُحَمَّدٍ الْحَسَنِ بنِ عليِّ بنِ أبي طالِبٍ، سِبْطِ رسولِ اللهِ صَلَّى اللهُ عَلَيْهِ وَسَلَّمَ ورَيْحانَتِهِ رَضِي اللهُ عَنْهُما قالَ: حَفِظْتُ مِنْ رسولِ اللهِ صَلَّى اللهُ عَلَيْهِ وَسَلَّمَ:
{دَعْ مَا يَرِيبُكَ إِلَى مَا لاَ يَرِيبُكَ}.
رواهُ التِّرمذيُّ والنَّسائِيُّ، وقالَ التِّرمذيُّ: حديثٌ حسَنٌ صحيحٌ
Kutoka kwa Abi Muhammad Hasan Bin Ally Bin Abi Twalib, Mjukuu wa Mtume sala na salamu ziwe juu yake na ni kipenzi chake radhi za Allah ziwe juu yake yeye na Baba yake amesema:
NIMEHIFADHI KUTOKA KWA MTUME SALA NA SALAMU ZIWE JUU YAKE: "ACHA (JAMBO) LENYE KUKUTIA MASHAKA NA UFANYE LISILOKUTIA MASHAKA"
Faida zinazopatikana katika Makala hii:
| 1. Umuhimu wa kujiepusha na kila chenye kuwa na mashaka na matatizo |
| 2. Umuhimu wa kujifunza dini |
| 3. Mafunzo huanza kwa watu wa nyumbani |
| 4. Miongoni mwa namna ya ufundishaji wa watoto ninkuwahifadhisha |