Hadithi 40 za Imam Nawawi (18)
Imehaririwa na:
Admin tokea miaka 2
عن أبي ذرٍّ جُندُبِ بنِ جُنَادَةَ وأبي عبدِ الرَّحمنِ مُعاذِ بنِ جبلٍ رضِي اللهُ عَنْهُما، عن رسولِ اللهِ صَلَّى اللهُ عَلَيْهِ وَسَلَّمَ قالَ:
{اتَّقِ اللهَ حَيْثُمَا كُنْتَ، وَأَتْبِعِ السَّيِّئَةَ الْحَسَنَةَ تَمْحُهَا، وَخَالِقِ النَّاسَ بِخُلُقٍ حَسَنٍ}
رواه التِّرمذيّ، وقالَ حديثٌ حَسَنٌ. وفي بعضِ النُّسَخِ حسنٌ صحيحٌ.
Kutoka kwa Abi Dharr Jundub Bin Junada na Abi Abdirahman Muafh Bin Jabal Radhi za Allah ziwe juu yao:
Kutoka kwa Mtume sala na salamu ziwe juu yake amesema:
MUOGOPE ALLAH POPOTE ULIPO, NA FANYA (MATENDO MEMA) KUTOKANA NA MAOVU (ULIYOYAFANYA) ILI (MATENDO MEMA) YAFUTE YALE MAOVU, NA ISHI NA WATU NA TABIA NZURI
Faida zinazopatikana katika Makala hii:
| 1. Tabia njema ni katika Mafunzi ya kiislamu |
| 2. Kila dhambi ifanyiwe toba |
| 3. Tujitahidi katika mema ili tusamehewe dhambi zetu tulizotanguliza |
| 4. Hii ninkatika misingi muhimu sana ya dini yetu |
| 5. Umuhimu wa kujifunza Dini |